pl2

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba Zanzibar, Bi. Mwanaisha Alli Said, alifanya ziara ya ukaguzi wa maeneo ya uwekezaji ya Shirika yaliyopo Chakechake pamoja na Maduka ya biashara na kufanya mazungumzo na baadhi ya Wapangaji wa maduka hayo ambapo aliwashajihisha kulipa kodi kwa wakati na kufuata masharti ya mikataba yao kwani kutokufanya hivyo kutapelekea  Shirika kuchukua hatua za Kisheria juu yao.

Aidha, alitembelea kwenye Nyumba za Vijiji za Kengeja na Mwambe pamoja na Nyumba za Maendeleo za Mapinduzi zilizopo Mkoani ambapo alipata nafasi ya kuongea na Diwani Mhe. Mrisho Juma Mtwana na kumuomba ushirikiano wake kwenye masuala yote yanayohusiana na Nyumba za Shirika zilizopo katika Wadi yake.
 
Alimalizia ziara yake kwa kufanya kikao na wapangaji wa nyumba za Madungu na Machomane kwa ajili ya kujitambulisha kwao na kuwashajihisha kulipa kodi kwa wakati ili Shirika liweze kumalizia  na matengenezo ya nyumba za Madungu na kuweza kufanya matengenezo kwenye nyumba nyengine zaid pamoja na kujenga nyumba kwa ajili ya kuwapatia Wazanzibari wengine makaazi bora. Na aliwasihi wapangaji hao kufuata Sheria na kuacha tabia za kukodisha au kutoa vilemba nyumba za Shirika na atakaejulikana anafanya hivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

pl2

 

News and Events

Ziara katika Ujenzi wa Nyumba Makaazi na Biashara Mombasa

Ziara katika Ujenzi wa Nyumba Makaazi na Biashara Mombasa

Mkurugenzi Mkuu Shirika la Nyumba Zanzibar ( wa nne kushoto) ndg. Mwanaisha Ali Said akiwa katika ziara ya Waziri Ardhi...

Menejimenti ya Shirika la Nyumba na Kamati ya Baraza la Wawakilishi

Menejimenti ya Shirika la Nyumba na Kamati ya Baraza la Wawakilishi

Menejimenti ya Shirika la Nyumba wakiwa kwenye Kikao cha Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya kuchunguza na kudhibiti hesabu za...

Ziara ya Kamati ya Mawasiliano, Ardhi na Nishati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar katika Nyumba za Maendeleo Michenzani.

Ziara ya Kamati ya Mawasiliano, Ardhi na Nishati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar katika Nyumba za Maendeleo Michenzani.

Katika kutekeleza majukumu yake, Kamati ya Mawasiliano, Ardhi na Nishati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar imeambatana na Waziri wa Ardhi...

Ziara ya Viongozi wa ZHC na Wabunge kutoka Nchi ya Ujerumani.

Ziara ya Viongozi wa ZHC na Wabunge kutoka Nchi ya Ujerumani.

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba Zanzibar, Bi. Mwanaisha Alli Said na menejimenti ya Shirika wameambatana na Wabunge kutoka Nchi...

Ziara ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar kukagua mradi wa matengenezo ya Nyumba namba 1699/1705 - Mnadani

Ziara ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar kukagua mradi wa matengenezo ya Nyumba namba 1699/1705 - Mnadani

Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, amefanya ziara ya kukagua mradi wa matengenezo ya Nyumba...

Mkutano wa Wadau kujadili fursa za Ujenzi wa Nyumba za bei nafuu Zanzibar

Mkutano wa Wadau kujadili fursa za Ujenzi wa Nyumba za bei nafuu Zanzibar

Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Zanzibar na Shelter Afrique kwa kushirikiana na Shirika la Nyumba Zanzibar imefanya mkutano...

Mode of Payment


All paymets received done by Control number

Paymet received though

PBZ Bank / PBZ Agent

TigoPesa / EzyPesa

Visit any ZHC Office for your Control number

Pemba Office


Mtaa wa Masingini

Barabara Kuu

P. O. BOX 349

Chake Chake Pemba

Email: zhcpba@zhc.go.tz

Zanzibar Head Office


Zanzibar Housing Corporation

Sonara Building, Darajani

Creek Road

P. O. BOX 795

E-mail: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

71124 Zanzibar..