Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba Zanzibar, Bi Mwanaisha Alli Said, amefanya ziara ya kikazi kwenye nyumba za Maendeleo zilizopo Makunduchi. Tukio hilo lilifanyika siku ya Jumatatu tarehe 12.07.2021 katika Tawi la Majenzi Makunduchi.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba Zanzibar, Bi Mwanaisha Alli Said, amefanya ziara ya kikazi kwenye nyumba za Maendeleo zilizopo Makunduchi. Tukio hilo lilifanyika siku ya Jumatatu tarehe 12.07.2021 katika Tawi la Majenzi Makunduchi.
All paymets received done by Control number
Paymet received though
PBZ Bank / PBZ Agent
TigoPesa / EzyPesa
Visit any ZHC Office for your Control number