
Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, amefanya ziara ya kukagua mradi wa matengenezo ya Nyumba namba 1699/1705 iliopo Mnadani. Ziara hiyo imefanyafika siku ya Alhamisi tarehe 02/09/2021 saa 04:00 (nne kamili) asubuhi.
Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, amefanya ziara ya kukagua mradi wa matengenezo ya Nyumba namba 1699/1705 iliopo Mnadani. Ziara hiyo imefanyafika siku ya Alhamisi tarehe 02/09/2021 saa 04:00 (nne kamili) asubuhi.
All paymets received done by Control number
Visit any ZHC Office for your Control number