Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, amefanya ziara ya kukagua mradi wa matengenezo ya Nyumba namba 1699/1705 iliopo Mnadani. Ziara hiyo imefanyafika siku ya Alhamisi tarehe 02/09/2021 saa 04:00 (nne kamili) asubuhi.

Katika ziara hiyo, Makamu wa Pili wa Rais, ameutaka uongozi wa Shirika la Nyumba na Mamlaka ya Mji mkongwe kushirikiana vizuri wakati wa ukarabati wa nyumba za Mji Mkongwe, ili kuhakikisha majengo yanakua imara .
Aidha aliwaagiza wakandarasi kufanya kazi kwa kiwango ambacho kimekusudiwa na kwa muda mfupi zaidi ili Serikali iweze kufanya biashara na kuingiza pato kupitia nyumba hiyo.

News and Events

Menejimenti ya Shirika la Nyumba na Kamati ya Baraza la Wawakilishi

Menejimenti ya Shirika la Nyumba na Kamati ya Baraza la Wawakilishi

Menejimenti ya Shirika la Nyumba wakiwa kwenye Kikao cha Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya kuchunguza na kudhibiti hesabu za...

Ziara ya Kamati ya Mawasiliano, Ardhi na Nishati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar katika Nyumba za Maendeleo Michenzani.

Ziara ya Kamati ya Mawasiliano, Ardhi na Nishati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar katika Nyumba za Maendeleo Michenzani.

Katika kutekeleza majukumu yake, Kamati ya Mawasiliano, Ardhi na Nishati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar imeambatana na Waziri wa Ardhi...

Ziara ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar kukagua mradi wa matengenezo ya Nyumba namba 1699/1705 - Mnadani

Ziara ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar kukagua mradi wa matengenezo ya Nyumba namba 1699/1705 - Mnadani

Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, amefanya ziara ya kukagua mradi wa matengenezo ya Nyumba...

Mkutano wa Wadau kujadili fursa za Ujenzi wa Nyumba za bei nafuu Zanzibar

Mkutano wa Wadau kujadili fursa za Ujenzi wa Nyumba za bei nafuu Zanzibar

Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makaazi Zanzibar na Shelter Afrique kwa kushirikiana na Shirika la Nyumba Zanzibar imefanya mkutano...

Mafunzo ya Zima Moto kwa wapangaji

Mafunzo ya Zima Moto kwa wapangaji

Shirika la Nyumba Zanzibar limeandaa Mafunzo ya Zima moto pamoja na kukabidhi Mitungi kumi ya kuzimia moto yaliyotolewa na Mbunge...

Shirika la Nyumba Zanzibar imeikodisha kampuni ya Mardev Limited yenye makaazi yake Morocco Nyumba zake nne.

Shirika la Nyumba Zanzibar imeikodisha kampuni ya Mardev Limited yenye makaazi yake Morocco Nyumba zake nne.

Shirika la Nyumba Zanzibar imeikodisha kampuni ya Mardev Limited yenye makaazi yake Morocco Nyumba zake nne, nyumba hizo zenye namba...

Mode of Payment


All paymets received done by Control number

Paymet received though

PBZ Bank / PBZ Agent

TigoPesa / EzyPesa

Visit any ZHC Office for your Control number

Pemba Office


Mtaa wa Masingini

Barabara Kuu

P. O. BOX 349

Chake Chake Pemba

Email: zhcpba@zhc.go.tz

Zanzibar Head Office


Zanzibar Housing Corporation

Sonara Building, Darajani

Creek Road

P. O. BOX 795

E-mail: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

71124 Zanzibar..