Katika kutekeleza majukumu yake, Kamati ya Mawasiliano, Ardhi na Nishati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar imeambatana na Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makaazi, Mhe. Rahma Kassim Ali na Uongozi wa Shirika la Nyumba Zanzibar katika ziara ya ukaguzi wa miundo mbinu ya maji taka ya Nyumba za Maendeleo zilizopo Michenzani. Lengo kuu la ziara hiyo ni kuangalia hali ya miundo mbinu ya nyumba hizo pamoja na kupendekeza njia mbali mbali kwa Shirika ili kuboresha miundo mbinu hayo pamoja na usafi wa nyumba hizo kiujumla. Ziara hiyo imefanyika siku ya Jumatano tarehe 17/08/2022.

170820224

Pay to PBZ Bank


All paymets received done by Control number

Visit any ZHC Office for your Control number

Pemba Office


ZHC Branch Miembeni Chake Chake Pemba

P. O. BOX 128

Email: zhcpba@zhc.go.tz

Pemba.

Zanzibar Head Office


Zanzibar Housing Corporation

Darajani Opposite to Petrol Station

Zanzibar

P. O. BOX 795

E-mail: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

Zanzibar - Tanzania